• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
UVINZA DISTRICT COUNCIL
UVINZA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Idara/Vitengo
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mpango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo yaJamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Mipango miji na mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Whe. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Ukatili wa watoto ni urithi mbaya utatuangamiza na kututesa -RC Andengenye

Posted on: March 8th, 2023

Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa Mkoa wa Kigoma yamefanyika katika kijiji cha Kidahwe, mgeni rasmi akiwa mkuu wa mkoa wa kigoma Mh. Thobias Andengenye

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mh.Thobias Andengenye ameagiza wakurugenzi wa Halmashauri kuendeleza kutekeleza mpango wa taifa wa kutokomeza ukatili wa watoto na wanawake (MTAKUWA) 2017/18 -2021 kwa kipindi hiki cha kusubiri kuhuisha mpango huu, hivyo ametaka kuendelea na mchakato wa mpango MTAKUWA kwasasabu ni njambo jema na endelevu kwani linaongeza ustaarabu katika jamii.

Mh. Andengenye ameongeza kwa kusema kuwa watu wote  kuendelea kupinga vita vitendo vyote vya unyanyasaji kijinsia na vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto, aidha kwa kutoa hamasa kwa jamii kulenga kuhimiza usawa katika ushiriki wa wananchi katika masuala elimu,biashara, uzalishaji, siasa na fursa zingine zinazojitokeza. 

vilevile amewataka wanawake kutumia fursa na elimu zinazojitokeza katika halmashauri illi kuweza kutumia asilimia 10 ya mapato kupata mikopo ya kuwawezesha kujikwamua kiuchumi.

Pia Mh. Andengenye amewataka viongozi wanawake kutumia nafasi zao ilikutimiza wajibuwa kwa lengo kudhihirija uwezo usio na shaka.

Matangazo

  • HER YA SIKUKUU YA SABASABA July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA SENSA July 18, 2022
  • TANGAZO WASIO NA NIDA July 19, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 25, 2022
  • Angaliza Zote

Taarifa za hivi Punde

  • Kilimo cha zao la PAMBA Uvinza

    March 22, 2023
  • Zoezi la ugawaji wa vitabu vya Mtaala Mpya -Uvinza

    March 16, 2023
  • Ukatili wa watoto ni urithi mbaya utatuangamiza na kututesa -RC Andengenye

    March 08, 2023
  • Serikali yakabidhi pikipiki 16 kwa Maafisa Ugani -Uvinza

    March 07, 2023
  • Angaliza Zote

Video

MAELEZO YA Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Uvinza na Mkurugenzi Mtengaji Kuelekea Nanenane 2020
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • News

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • Utumishi na Utawala Bora
  • TOVUTI YA MKOA WA KIGOMA
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Uvinza - Lugufu Area

    Sanduku la Posta: P.O Box 12 UVINZA

    Simu ya Mezani: 0282988503

    Simu: 0757894484

    Barua Pepe: ded@uvinzadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza . Haki zote zimehifadhiwa.