• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
UVINZA DISTRICT COUNCIL
UVINZA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Idara/Vitengo
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mpango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo yaJamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Mipango miji na mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Whe. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Ufunguzi wa Jukwaa la Maendeleo ya Ushirika

Posted on: June 2nd, 2023

Ufunguzi wa Jukwaa la Maendeleo ya Ushirika mkoani Kigoma limeziduliwa na mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isaac Antony Mwakisu amesema elimu ya ushirika itolewe kwa wananchi ili waweze kujua maana ya ushirika.

Mkuu wa wilaya ya Kasulu kanal Mwakisu amesema elimu ya ushirika inahitajika kupelekwa kwa wananchi ili wajue nini tunafanya kwenye ushirika na maana ya ushirika, hayo yamezungumzwa katika uzinduzi wa Jukwaa la maendeleo kwenye ukumbi wa Bongwe sekondary uliopo mjini Kasulu mkoani Kigoma

Pia Kanal Mwakisu ameongelea suala la uelewa mdogo kwa wajumbe wabodi za ushirika na watendaji katika majukumu yao unaopelekea kushindwa kupata hati safi kwa vyama vya ushirika.

Naye Mrajisi wa vyama vya ushirika mkoa wa Kigoma Bw.Robert Kitambo amewataka viongozi wa ushirika kusimama katika misingi uadilifu katika majukum ili kuweza kufika mbali  na kujitathimini kwa shughuli walizozifanya zinatija kwa wanachama. Pia ameelekeza SACCOS kutoa taarifa za kazi na kukata leseni kwa maelekezo ya Bank kuu.

Katika picha ni bidhaa zinazopatikana kutoka kwa wakulima wa mazao mbalimbali kwenye vyama vya ushirika.

Matangazo

  • HER YA SIKUKUU YA SABASABA July 07, 2022
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI June 07, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO NA VYUO June 12, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA SEPT 2023 - UVINZA September 19, 2023
  • Angaliza Zote

Taarifa za hivi Punde

  • Baraza la Madiwa robo ya nne ya mwaka wa Fedha

    September 20, 2023
  • Baraza la Madiwa kikao cha kawaida cha robo ya nne kufunga mwaka wa fedha 2022/2023

    September 20, 2023
  • Kikao cha madiwani kupitia taafifa za kata

    September 20, 2023
  • Ziara ya World Bank na OR-TAMISEMI kukagua maendeleo ya ujenzi

    September 19, 2023
  • Angaliza Zote

Video

MAELEZO YA Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Uvinza na Mkurugenzi Mtengaji Kuelekea Nanenane 2020
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • News

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • Utumishi na Utawala Bora
  • TOVUTI YA MKOA WA KIGOMA
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Uvinza - Lugufu Area

    Sanduku la Posta: P.O Box 12 UVINZA

    Simu ya Mezani: 0282988503

    Simu: 0757894484

    Barua Pepe: ded@uvinzadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza . Haki zote zimehifadhiwa.