• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
UVINZA DISTRICT COUNCIL
UVINZA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Idara/Vitengo
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mpango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo yaJamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Mipango miji na mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Whe. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Tunaishukuru serikali kwa mgawo wa pikipiki 6 kwa watendaji kata Wilaya ya Uvinza

Posted on: March 6th, 2023

Pikipiki 6 zimetolewa kwa Watendaji Kata wa Halmashauri ya wilaya Uvinza katika adhima ya utekelezaji wa shughuli kwa urahisi.

Kwa awamu hii kata 6 zilizo na changamoto ya usafiri zimepata pikipiki katika hafla ya makabidhiano  yaliyofanyika ngazi ya kata kwenye viwanja vya ofisi ya ardhi iliyopo halmashauri ya wilaya leo tarehe 6 machi 2023.


Akikabidhi pikipiki kwa watendaji wa kata 6, Afisa Maendeleo ya Jamii wilaya ya Uvinza Bw.Bernad Rusomyo amewataka kutunza na kuzilinda mali za serikali, amesema hatuna budi kuishukuru serikali ya mama samia suluhu hasani kwa kukabidhi vitendea kazi kwa ngazi za chini. 

Bw. Bernad ameongeza kwa kusema pikipiki hizi vitumike kuimarisha utendaji kazi kwa kuwafikia wananchi na kuweza kutatua migogoro kwa moyo wa uzalendo ili kulinda tunu za Tanzania, kwa kuimarisha umoja na upendo.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Uvinza Bw. Kechengwa Masumbuko amewakumbusha watendaji kata kuwa pikipiki hizi ni mali ya serikali, hivyo inapaswa kutunzwa sio tu kwasasabu unaweza kuhama ndio ukaharibu lahasha, hata ukihamishwa inabaki katani kwa matumizi ya kata pia amehimiza kuzingatia kanuni na sheria za usalama barabarani.

Kwa upande wake Afisa Utumishi wilaya ya Uvinza, Bw. Acland Kambili amesema serikali imegawa pikipiki kwa watendaji kata nchi nzima, kwa wilaya ya Uvinza tumepata pikipiki 6 zitakwenda kufanya shughuli ngazi ya kata kwa kushirikiana na watendaji wa vijiji ili kurahisisha usafiri wa kuwafikia wananchi katika maeneo yao. Hivyo amesema pikipiki zitumike kwa kutunzwa na sio kuweka ndani bali katika shughuli 

OCD wa wilaya ya Uvinza afande Alfred amesema hata kama ni mtendaji kata au mtumishi yeyote, sheria ya usalama barabarani haikuondolei kinga ya kuvunja sheria. Akitoa elimu ya usalama barabarani amewataka watendaji kata  wanaokabidhiwa pikipiki kuzingatia sheria za kanuni za usalama barabarani.

Kwa niaba ya Watendaji Kata Bi Zulfa ameishukuru serikali ya Raisi mama Samia Suluhu Hasani kwa kutambua ugumu wa kazi za watendaji kata kwa kusaidia kutoa pikipiki hizi kurahisisha utendaji kazi, hivyo amewaomba waliopata pikipiki kuzitunza na kuzithamini kama mali zao.

Matangazo

  • HER YA SIKUKUU YA SABASABA July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA SENSA July 18, 2022
  • TANGAZO WASIO NA NIDA July 19, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 25, 2022
  • Angaliza Zote

Taarifa za hivi Punde

  • Kilimo cha zao la PAMBA Uvinza

    March 22, 2023
  • Zoezi la ugawaji wa vitabu vya Mtaala Mpya -Uvinza

    March 16, 2023
  • Ukatili wa watoto ni urithi mbaya utatuangamiza na kututesa -RC Andengenye

    March 08, 2023
  • Serikali yakabidhi pikipiki 16 kwa Maafisa Ugani -Uvinza

    March 07, 2023
  • Angaliza Zote

Video

MAELEZO YA Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Uvinza na Mkurugenzi Mtengaji Kuelekea Nanenane 2020
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • News

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • Utumishi na Utawala Bora
  • TOVUTI YA MKOA WA KIGOMA
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Uvinza - Lugufu Area

    Sanduku la Posta: P.O Box 12 UVINZA

    Simu ya Mezani: 0282988503

    Simu: 0757894484

    Barua Pepe: ded@uvinzadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza . Haki zote zimehifadhiwa.