• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
UVINZA DISTRICT COUNCIL
UVINZA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Idara/Vitengo
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mpango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo yaJamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Mipango miji na mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Whe. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RUWASA -Uvinza imefanya mkutano wa nusu mwaka wa wadau wa maji

Posted on: November 25th, 2022


Mkutano wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini(RUWASA) wa nusu mwaka wa wadau wa maji, wilayani Uvinza umefanyika tarehe 21 Novemba 2022 katika ukumbi wa vijana kata ya Kazuramimba.

Mkutano huo umehudhuriwa na viongozi mbaimbali ngazi ya mkoa na wilaya kwa lengo lakutaka kusikiliza changamoto zinazoikabili miradi ya maji kwa wilaya ya uvinza ili wananchi waachane na adha ya maji.

Kaimu Mkuu wilaya ya Uvinza Bw. Liwaza Msasa ambaye ni Katibu Tarafa ya Ilagala amesema serikali inawahakikishia wanachi kupata maji safi na salama kwa kulinda miundo mbinu ya maji hivyo ameipongeza RUWASA na wadau wanaochangia miradi ya maji kwa wilaya ya Uvinza kwa kutekeleza miradi hiyo kwa ubora na kiwango kinachotakiwa.

‘kwa kipindi cha miaka kadhaa iliyopita Uvinza ilikuwa na changamoto ya maji safi na salama katika maeneo mbalimbali lakin kwa kiasi kikubwa, miradi hii imesaidia hata kupunguza umbali wa kuyapata maji, na serikali itaendelea kupeleka miradi ya maji pale ambapo haijafika,

Ameongeza kwa kusema kuwa serikali imekuwa ikitumia gharama kubwa kutekeleza miradi ya maji, hivyo amewaomba wadau wa maji na wananchi kutunza vyanzo vya maji na miundo mbinu ya maji.

Pia Bw. Liwaza amevitaka vyombo vya watoa huduma ya maji ngazi ya jamii (CBWSO) kutumia vizuri fedha wanazokusanya za uuzaji wa maji ili kuendeleza miradi ni pamoja na kusoma mapato na matumizi na sio kuzitumia hovyo kwa kujilipa posho hali itakayosababisha miradi kufa, ambayo itawarudisha wananchi kwenye shida za maji za wakati wa nyuma.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Uvinza Mh Jackson Mateso, akizungumza katika mkutano huo ametoa wito kwa wadau wamaji  kuwa kila mwananchi awe mlinzi wa mwenzake na kulinda miundombinu ya  miradi maji na kutoa taarifa pale wanapoona mabomba yamepasuka ili yafanyiwe matengenezo ya haraka ili wanachi wapate huduma.

Kwa upande wake Meneja wa RUWASA wilaya Uvinza Mhandisi Jefta A.Julius amesema  lengo la mkutano huo wa RUWASA na wadau wa maji ni kujadili utunzaji wa vyanzo vya maji  ikiwa jukum la RUWASA kutekeleza miradi ya maji kwa wanachi na kutafuta ufumbuzi  wa changamoto zinazoikabili Sekta  ya maji kwa kuboresha huduma ya maji.

     

Matangazo

  • HER YA SIKUKUU YA SABASABA July 07, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA SENSA July 18, 2022
  • TANGAZO WASIO NA NIDA July 19, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 25, 2022
  • Angaliza Zote

Taarifa za hivi Punde

  • Wakuu wa Idara na Vitengo wakutana na Mkuu wa Wilaya Uvinza

    February 08, 2023
  • Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, aongoza mazishi ya kifo cha Afisa misitu Uvinza.

    February 07, 2023
  • kikao cha mapitio ya bajeti 2023/2024

    February 07, 2023
  • Maadhimisho ya Siku ya Sheria Wilayani Uvinza

    February 03, 2023
  • Angaliza Zote

Video

MAELEZO YA Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Uvinza na Mkurugenzi Mtengaji Kuelekea Nanenane 2020
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • News

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • Utumishi na Utawala Bora
  • TOVUTI YA MKOA WA KIGOMA
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Uvinza - Lugufu Area

    Sanduku la Posta: P.O Box 12 UVINZA

    Simu ya Mezani: 0282988503

    Simu: 0757894484

    Barua Pepe: ded@uvinzadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza . Haki zote zimehifadhiwa.