• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
UVINZA DISTRICT COUNCIL
UVINZA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Idara/Vitengo
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mpango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo yaJamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Mipango miji na mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Whe. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Chama cha Mwanyaka kumvua ujumbe wa bodi -Ally

Posted on: September 14th, 2022

KUKOSEKANA UMAKINI WA VYAMA VYA USHIRIKA

Kukosekana kwa umakini kwenye bodi za vyama vya ushirika kunapelekea vyama vyingi kushindwa kujiendeleza na kukua kutokana sintofahamu kwa baadhi ya wajumbe kujinufaisha wao hali inayopelekea vyama hivyo kufa na vingine kusindwa kutimiza malengo yao.

Mpaka sasa vyama vya msingi 7 kati ya 48 vinalegalega japo kuwa bado vinatambulika, lakini inafahamika kuwa sababu halisi ikiwa ni viongozi wa chama  kuwa na tama ya kujilimbikizia majukumu yote ya chama cha msingi.

Hivyo Chama cha ushirika –Mwanyaka katika kijiji Mwamila kata ya Kazuramimba wamemvua ujumbe wa bodi Ally  Bugelima kwa kukiuka taratibu na kanuni za chama cha msingi hali iliyopelekea wanachama katika mkutano  mkuu kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye mjumbe huyo  nakumtaka ajiudhuru ni katika ofisi ya mtendaji Mwamila tarehe  12/9/2022.

Naye Mwajuma Ally Mayunga mwanachama wa chama cha Mwanyika amesema wamezalisha bidhaa lakini bwana Ally Bugelima kwasababu ni wakala ameweza kuandika watu majina pembeni na kuwatafutia masoko wakati wanachama wake hawana pakupeleka bidhaa.

 Uamuzi  wa kumtoa mjumbe wa bodi umefanyika mbele ya afisa Ushirika Cathberth Dongwe baada ya kuwajengea uwezo wa kichama baada ya chama hicho cha msingi kukosa soko msumu huu wa mavuno kutoka na Ally mjumbe  kuwa wakala wa pembejeo kutumia nafasi hiyo kudanganya wanachama wa Mwanyaka bei ya mazao na kutofikisha taasifa kwa usahihi na kuficha taarifa  za kichama.

Pia Cathberth amesema ili kuimarisha chama umoja na ushirikiano ndio nguzo kubwa itakayopelekea kuleta ruzuku nyingi kutoka kwa wahisani kwani watakuwa wameona kile mlichokifanya.

Matangazo

  • HER YA SIKUKUU YA SABASABA July 07, 2022
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI June 07, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO NA VYUO June 12, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA SEPT 2023 - UVINZA September 19, 2023
  • Angaliza Zote

Taarifa za hivi Punde

  • Baraza la Madiwa robo ya nne ya mwaka wa Fedha

    September 20, 2023
  • Baraza la Madiwa kikao cha kawaida cha robo ya nne kufunga mwaka wa fedha 2022/2023

    September 20, 2023
  • Kikao cha madiwani kupitia taafifa za kata

    September 20, 2023
  • Ziara ya World Bank na OR-TAMISEMI kukagua maendeleo ya ujenzi

    September 19, 2023
  • Angaliza Zote

Video

MAELEZO YA Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Uvinza na Mkurugenzi Mtengaji Kuelekea Nanenane 2020
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • News

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • Utumishi na Utawala Bora
  • TOVUTI YA MKOA WA KIGOMA
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Uvinza - Lugufu Area

    Sanduku la Posta: P.O Box 12 UVINZA

    Simu ya Mezani: 0282988503

    Simu: 0757894484

    Barua Pepe: ded@uvinzadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza . Haki zote zimehifadhiwa.