KITENGO CHA NYUKI HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA
1: UTANGULIZI
Ufugaji wa nyuki unafanyika kwa kuzingatia sera ya Taifa ya ufugaji Nyuki ya mwaka 1998, sheria ya ufugaji Nyuki ya mwaka 2002 na Kanuni za ufugaji Nyuki ya mwaka 2005. Sera ya Taifa ya ufugaji Nyuki ya mwaka 1998 imelenga mambo makuu matatu ambayo ni:-
2: KITENGO CHA UFUGAJI NYUKI
Ni miongoni mwa vitengo sita (6) katika Halmashauri ya wilaya ya Uvinza. Kitengo hiki kinatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Miongozo mbalimbali inayotolewa na Ofisi ya Rais TAMISEMI na Wizara ya Maliasili na Utalii.
3:0 MAJUKUMU YA KITENGO CHA UFUGAJI NYUKI
3:1 Elimu inayotolewa
Elimu inayotolewa inahusu mambo yafuatayo:-
4: FAIDA ZA UFUGAJI NYUKI
5: KIKUNDI CHA UFUGAJI
Ili kuanzisha kikundi cha ufugaji Nyuki taratibu zifuatazo zifuatwe:
Zingatia: Ufugaji binafsi au kikundi kuanzishwa inabidi kuzingatia sana uwepo wa eneo la kufugia Nyuki (Manzuki).
6: VITUO VYA UKUSANYAJI NA UCHAKATAJI WA MAZAO YA NYUKI KATIKA HALMASHAURI
Ili kua na mazao ya Nyuki yenye kukidhi viwango vya ubora kwa ajili masoko ya kimataifa na soko la ndani kwa ajili ya afya za watumiaji na kupata idhini kutoka katika mamla ya chakula na shirika la viwango TBS, Halmashauri ina vituo vya ukusanyaji na uchakataji Mazao yanyuki, vifuatavyo:-
Mahali: Uvinza
Mahali: Ilagala
7: WADAU
Ni mashirika, wakala, taasisi au watu binafsi ambao huwezesha Kitengo cha Nyuki katika utekerezaji wa majukumu. Mfano wa wadau hao ni; TFS, BTC, Jane Goodall, TUUNGAME, n.k
8: MAWASILIANO
Barua pepe:
Imeandaliwa na:
Kapama Justin, R.
Kitengo cha Ufugaji Nyuki
Halmashauri ya Wilaya
Uvinza.
Uvinza - Lugufu Area
Sanduku la Posta: P.O Box 12 UVINZA
Simu ya Mezani: 0282988503
Simu: 0757894484
Barua Pepe: ded@uvinzadc.go.tz
Haki Miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza . Haki zote zimehifadhiwa.